Rusty - Emma lyrics | LyricsFreak
Correct  |  Mail  |  Print  |  Vote

Emma Lyrics

Rusty – Emma Lyrics

Intro
Yeah…Big Unit-Genge Mufti
2008
Dedication to Emma
Alters Records
Yeah…Twende
Aha…Shasha Mo na Rusty

Chorus
Mpenzi wangu Emma
Mi nakupenda nasema…
Macho yako yamenivutia…
Mashallah! (Mashallah!)
Why Lie! (Why Lie) x3

Verse 1
Mpenzi wangu Emma
Ni kweli mi nasema
Mi bado nakupenda
Hata watu wakinena
Siwezi kukutema
Ninakuwazia mema
Kwa siku zangu zote
Bado mema nitatenda
Naapa mpenzi
Sitoweza kukutenga
Wengi walisema
Siwezi kukupata
Story nikakata
Nisije kukuhata
Nafanya uradi fasta
Niweze kuwa nawe
Ukidrill kwenye highway
Na feel kuwa nawe
Yeah…na feel kuwa nawe

Verse 2
Nakupa tabasamu mikono nakurushia
Maisha ni machungu na raha kukimbilia
Big Unit tunasema, huwezi tukimbia
Popote utaenda sisi tutakufikia
Najua uko poa mrembo wakubugia
Mara ninapolala ni wewe nafikiria
Aaah, Ni msanii kwa sanaa
Ni kweli ninasema kunihepa ni balaa
Unabaki umeshangaa
Ndio maana tunasema
Hivi na vile vile
Kutoka siku ile
Jd naitwa hero
Kutoka hapa gilo
Pretty Emma
Mi sikupi vitisho
Nakupa langu himizo
Na hope sio tatizo
Ndio life siku hizo
Hivo jinsi ilivyo
Ya kweli kutimiza
Japo swali we uliza
Yeah…Japo swali we uliza

Verse 3
Na saa ukinijia
Masaa yatimia
Wazo langu tulia
Yote mengi ya dunia
Sahau yalopita
Mateso kadri vita
Na mi nakuita
Ukweli sitoficha
Banyes Twist Guitar
Ushow zote features
Mziki utani…
Fikisha mbali Sana
Na hope ndio future
Manake sio nature
Manake tunawika tukidai every time
Pretty Emma
I love you so much
Baby, I love you so much

Outro
Big up Mafans wote wa gilo
Skug Unit
Squad Safi
Madedix
Tuko pamoja tu yaani…
Au sio!
Share lyrics
×

Emma comments