Rusty - Sanaa lyrics | LyricsFreak
Correct  |  Mail  |  Print  |  Vote

Sanaa Lyrics

Rusty – Sanaa Lyrics

Chorus
Skiza mistari, vile mimi natimiza
Ndoto yangu, kutoka kwenye giza
Kwenye Sanaa, msanii natumbuiza
Wengi walisema, mziki sio career
Kaa chini, bro hebu fikiria
Kushika mic, kajifunza kuitumia
Kwenye mawazo, yangu natilia
Mkazo mkali, basi masaa yatimia

Verse 1
Saa hii nimeibuka
Masaa imefika wasanii kugutuka
Kutoka underground, this time nainuka
Mziki elimisha wala sio kwa payuka
Skia hiyo beat vile mi nimeisuka
Piracy mitumba, Origy Ni Kwa duka
Hip Hop iligenya saa hii imefufuka
Usiponisikia we mwenyewe utajuta
Majuto Ni mjukuu basi we usijiduu…yeah

Verse 2
Tangu nianze usanii kuna madeni nimekopa
Pengine ningechanga doh, ningekuwa Na chopper
Saa hii mi celeb, underground nimetoka
Nimetoka mbali, ukiniona we toroka
Kufuata, mafala, wajanja naogopa
Mbio za nyikani, any time nachomoka
Wazazi wanikanya, wanasema napotoka
Kijana nsikilize mi mamako naokoka
Dunia mbaya sana, na ufalme ni wa nyoka
Vijana, wasichana wote wanacheza soka
Nini?, eti wanacheza soccer!
Vijana, wasichana wote wanacheza soccer

Verse 3
Ma time zimefika Piaily Na Babily kujulikana
Kutoka long time, this time twapambana
Bidii toka nayo tume hustle tena sana
Methali yangu, Ina maana nyingi Sana
Wengi wameshindwa kuichambua noma Sana
Mziki sio game usipo hit uwe blame jinga Sana
Nakupa tabasamu mikono nakurushia
Maisha ni machungu na raha kukimbilia
Big Unit tunasema huwezi tukimbia
Popote utaenda sisi tutakufikia
Nakupa kitu kali Piaily Na Rusty boy
A. K. A. Wakily

Outro
Ukoo Gani
Squad Safi
Moss, Piaily, Babily na Rinty Binty
Yeah…One love
Share lyrics
×

Sanaa comments